Mamlaka ya Mapato Tanzania
Toggle Navigation
  • English
  • Maskani
  • Kuhusu TRA
    • Mkataba na mlipakodi
    • Dhamira na Dira ya TRA
    • Mpango Mkakati
    • Muundo wa Taasisi
    • Maadili kwa wafanyakazi wa TRA
    • Huduma ya barua pepe ya wafanyakazi wa TRA
  • Mawasiliano
  • Ajira
  • Zabuni
  • Minada
  • Mrejesho


         Bwana Alphayo J. Kidata

              Kamishna Mkuu

                           

Huduma za mtandao

  • Maskani
  • Jisajili kwa ajili ya TIN
  • Jisajili kwa ajili ya malipo
  • Tuma Taarifa ya VAT
  • Leseni za forodha
  • Usimamizi wa mizigo ya forodha
  • Usimamizi wa mashine za EFD
  • Jisajili kwa ajili ya kazi za Wasanii
  • Usaili wa Majengo

Viungo chapuchapu

  • Mashine za risiti za kielektroniki
  • Fomu
  • Pingamizi na rufaa za kodi
  • Ulipaji kodi
    • GFS Codes
  • Raia wanaorejea nchini
  • Kuanzisha biashara
  • Kalenda ya matukio ya kodi
  • Riba, Adhabu ya ucheleweshwaji na Makosa

Maktaba

  • Sheria
  • Mikataba ya Kodi baina ya Nchi mbili
  • Maamuzi ya Kesi za Kodi
  • Machapisho
  • Takwimu za makusanyo ya kodi
  • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
  • Jedwali la Makato ya Kodi

Linki Linganifu

Chuo cha Kodi

Wizara ya Fedha na Mipango

Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji

Mamlaka ya Bandari Tanzania

BRELA

African Tax Administration Forum

Kenya Revenue Authority

Uganda Revenue Authority

Rwanda Revenue Authority

Office Burundais des Recettes

South African Revenue Service

  • Upo Hapa:  
  • Maskani
  • Ulipaji kodi

Tarehe Zipi ni Muafaka Kulipa Ushuru na Kodi?

 Kodi za Mapato

  • Kodi za zuio zinalipwa  ndani ya siku 7 baada ya mwisho wa mwezi wa kalenda.
  • Kodi zinazolipwa kwa awamu (kodi zinazokadiriwa kwa awamu) zinazilipwa katika kila robo mwaka; kwa mfano walipakodi ambao vipindi vyao vya kulipa vinaisha tarehe 30/ Desemba; awamu za malipo zitafikia wakati wa kulipwa mwishoni mwa Machi, Juni, Septemba na Desemba.
  • Kodi ya kujikadiria italipwa tarehe ya mwisho ya taarifa ya mapato (miezi sita baada ya mwaka wa mapato)
  • Kodi ya Kujikadiria Dharura inalipwa katika tarehe iliyobainishwa katika taarifa ya makadirio.
  • Kodi Iliyorekebishwa inalipwa ndani ya siku 30 tangu tarehe ya makadirio.

Kodi ya Ongezeko la Thamani

Kodi ya Ongezeko la Thamani inalipwa ndani ya siku 20 kufuatia mwezi wa biashara yaani tarehe ya kuwailisha taarifa za kodi.

Kodi za Forodha

Ushuru na Kodi ya kuingiza bidhaa unalipwa  ndani ya siku 30 tangu tarehe ya makadirio ya kodi.

List of articles in category Kulipa Kodi
Title
Mwongozo wa Kulipa Kodi

Vikokotoo Vya Kodi

  • Kikokotoo cha Magari
  • PAYE Tanzania Bara
  • PAYE Tanzania Zanzibar

Rudi Juu

© 2022 Mamlaka ya Mapato Tanzania