Mamlaka ya Mapato Tanzania
Toggle Navigation
  • English
  • Maskani
  • Kuhusu TRA
    • Mkataba na mlipakodi
    • Dhamira na Dira ya TRA
    • Mpango Mkakati
    • Muundo wa Taasisi
    • Maadili kwa wafanyakazi wa TRA
    • Huduma ya barua pepe ya wafanyakazi wa TRA
  • Mawasiliano
  • Ajira
  • Zabuni
  • Minada
  • Mrejesho


         Bwana Alphayo J. Kidata

              Kamishna Mkuu

                           

Huduma za mtandao

  • Maskani
  • Jisajili kwa ajili ya TIN
  • Jisajili kwa ajili ya malipo
  • Tuma Taarifa ya VAT
  • Leseni za forodha
  • Usimamizi wa mizigo ya forodha
  • Usimamizi wa mashine za EFD
  • Jisajili kwa ajili ya kazi za Wasanii
  • Usaili wa Majengo

Viungo chapuchapu

  • Mashine za risiti za kielektroniki
  • Fomu
  • Pingamizi na rufaa za kodi
  • Ulipaji kodi
  • Raia wanaorejea nchini
  • Kuanzisha biashara
  • Kalenda ya matukio ya kodi
  • Riba, Adhabu ya ucheleweshwaji na Makosa

Maktaba

  • Sheria
  • Mikataba ya Kodi baina ya Nchi mbili
  • Maamuzi ya Kesi za Kodi
  • Machapisho
  • Takwimu za makusanyo ya kodi
  • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
  • Jedwali la Makato ya Kodi

Linki Linganifu

Chuo cha Kodi

Wizara ya Fedha na Mipango

Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji

Mamlaka ya Bandari Tanzania

BRELA

African Tax Administration Forum

Kenya Revenue Authority

Uganda Revenue Authority

Rwanda Revenue Authority

Office Burundais des Recettes

South African Revenue Service

  • Upo Hapa:  
  • Maskani
  • Kodi ya Mapato yatokanayo na Ajira

Kuelewa dhana ya Kodi  inayotokana na Ajira

Kodi  inayotokana na Ajira inajulikana  kama Lipa kadiri unavyopata. Hii ni kodi ya zuio kwa waajiriwa wanaotozwa kodi. Chini ya mfumo huu, mwajiri anapaswa kisheria kukata kodi ya mapato kutoka katika mshahara au ujira  wa mwajiriwa anayestahili kutozwa kodi.

Maana ya Mwajiriwa:

Mwajiriwa ni mtu anayehusika na ajira inayoendeshwa na mwajiri. Ajira inahusisha waajiriwa wa kudumu, waajiriwa wa muda, meneja, Mkurugenzi, na vibarua. Waajiriwa wanaweza kuajiriwa na mwajiri mmoja au zaidi (ajira ya msingi na ya ziada)

Maana ya mwajiri:

Mwajiri ni mtu anayeendesha, aliyeendesha au ana lengo la kuendesha ajira kwa watu.

Mkurugenzi wa ajira ya kudumu:

Maana yake ni mwajiriwa wa kudumu katika shirika anayefanya kazi ya kiutawala.

Usimamizi wa Kodi ya Mshahara

Mwajiri anapaswa kuzuia kodi ya mapato kutoka katika mishahara, ujira na malipo mengine yote yanayopaswa kukatwa kodi kutoka kwa waajiriwa.

List of articles in category Kodi itokanayo na Ajira
Title
Ni Mapato gani yanayohusishwa katika kukokotoa kodi itokanayo na Ajira?
Mafao ya huduma ya mali
Vikokotoo vya Kodi ya Mshahara kwa Tanzania Bara na Zanzibar
ITX 215.01.E Kodi ya Mshahara - Taarifa na malipo ya Kodi Iliyozuiwa
Ajira ya Ziada
Wafanyakazi wa Ndani ya Nchi wafanyao kazi katika Ofisi za Jumuia ya Madola, Ubalozi na Ujumbe Maalum wa Kidiplomasia
Viwango Maalum vya Kodi Vinavyotumika katika Baadhi ya Makundi ya Waajiriwa
Nyaraka gani zinatakiwa kutunzwa na Mwajiri?
Malipo ya Jumla yanafanyikaje?
Michango katika Mifuko ya Wastaafu Iliyoidhinishwa inashughulikiwaje?

Vikokotoo Vya Kodi

  • Kikokotoo cha Magari
  • PAYE Tanzania Bara
  • PAYE Tanzania Zanzibar

Rudi Juu

© 2022 Mamlaka ya Mapato Tanzania