Mamlaka ya Mapato Tanzania
Toggle Navigation
  • English
  • Maskani
  • Kuhusu TRA
    • Mkataba na mlipakodi
    • Dhamira na Dira ya TRA
    • Mpango Mkakati
    • Muundo wa Taasisi
    • Maadili kwa wafanyakazi wa TRA
    • Huduma ya barua pepe ya wafanyakazi wa TRA
  • Mawasiliano
  • Ajira
  • Zabuni
  • Minada
  • Mrejesho


         Bwana Alphayo J. Kidata

              Kamishna Mkuu

                           

Huduma za mtandao

  • Maskani
  • Jisajili kwa ajili ya TIN
  • Jisajili kwa ajili ya malipo
  • Tuma Taarifa ya VAT
  • Leseni za forodha
  • Usimamizi wa mizigo ya forodha
  • Usimamizi wa mashine za EFD
  • Jisajili kwa ajili ya kazi za Wasanii
  • Usaili wa Majengo

Viungo chapuchapu

  • Mashine za risiti za kielektroniki
  • Fomu
  • Pingamizi na rufaa za kodi
  • Ulipaji kodi
  • Raia wanaorejea nchini
  • Kuanzisha biashara
  • Kalenda ya matukio ya kodi
  • Riba, Adhabu ya ucheleweshwaji na Makosa

Maktaba

  • Sheria
  • Mikataba ya Kodi baina ya Nchi mbili
  • Maamuzi ya Kesi za Kodi
  • Machapisho
  • Takwimu za makusanyo ya kodi
  • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
  • Jedwali la Makato ya Kodi

Linki Linganifu

Chuo cha Kodi

Wizara ya Fedha na Mipango

Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji

Mamlaka ya Bandari Tanzania

BRELA

African Tax Administration Forum

Kenya Revenue Authority

Uganda Revenue Authority

Rwanda Revenue Authority

Office Burundais des Recettes

South African Revenue Service

  • Upo Hapa:  
  • Maskani
  • Ushuru wa bidhaa
  • Mkataba na mlipakodi

Ushuru wa bidhaa

Ushuru wa bidhaa ni kodi inayotozwa kwa bidhaa au huduma maalum zilizozalishwa ndani ya nchi au kuingizwa nchini kwa viwango tofauti. Kodi hii inatozwa katika viwango maalum na viwango kulingana na thamani.

Vitu vinavyotozwa viwango maalum ni pamoja na:

Mvinyo, vinywaji vikali, bia, vinywaji laini, maji ya chupa, juisi ya matunda, Dividii, Visidii, Sidii na kanda zilizorekodiwa sauti, sigara, tumbaku, bidhaa za petroli na gesi asilia.

Vitu vinavyotozwa kulingana na thamani yake ni pamoja na:

Huduma za kutuma na kupokea fedha, huduma za mawasiliano ya kielektroniki, malipo ya huduma za televisheni, samani zilizoingizwa kutoka nje, vyombo vya moto, mifuko ya plastiki, ndege maalum, silaha za moto, makasha maalum, vipodozi na dawa.

Viwango kulingana na thamani ni: 0%, 5%, 10%, 17%, 15%, 20%, 25% ,30% na 50%.

Wajibu wa kulipa ushuru.

Ushuru utakuwa ni lazima na utalipwa kwa kuzingatia:

(a) bidhaa yoyote iliyoingizwa na mwingizaji, wakati bidhaa hiyo haijakoma kuwa chini ya udhibiti wa forodha au wakati mwingine wowote kama itakavyokuwa imeelekezwa na Waziri mwenye dhamana katika Gazeti la Serikali,

(b) bidhaa yoyote iliyozalishwa katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na mzalishaji:

(i) baada ya kuuzwa kwa bidhaa na mhusika, au

(ii) baada ya bidhaa kukoma kuwa chini ya udhibiti wa forodha, au

(iii) baada ya kuondolewa kwa bidhaa katika eneo la uzalishaji, lolote litakalotokea kwanza.

(c) bidhaa yoyote iliyozalishwa au kuingizwa nchini na mtu yeyote bila kulipia ushuru na ambayo baadaye imeuzwa kwa mtu yeyote na mnunuzi wakati akiuza bidhaa hiyo;

(d) huduma yoyote ya mawasiliano ya kielektroniki iliyotolewa na mtoa huduma za mawasiliano wakati simu hiyo ya kiganjani, ya mezani au isiyotumia waya inatumika au wakati malipo yanapopokelewa kwa ajili ya huduma wakati wowote.

(e) malipo yoyote ya kumlipa mtoa huduma ya televisheni kwa njia ya setilaiti wakati huduma inapotolewa.

List of articles in category Ushuru wa bidhaa
Title
Zoezi la ukaguzi wa urasimishaji wa kazi za muziki na filamu nchini laanza rasmi
Uwasilishaji wa taarifa za mapato unaofanywa na wazalishaji wa bidhaa za kuzalishwa
Ushuru wa Vyombo vya Moto
Stempu za ushuru kwa bidhaa za filamu na muziki
Ushuru wa bidhaa katika Mawasiliano ya Kielektroniki
Ushuru wa Bidhaa kwa Ada na Malipo

Vikokotoo Vya Kodi

  • Kikokotoo cha Magari
  • PAYE Tanzania Bara
  • PAYE Tanzania Zanzibar

Rudi Juu

© 2022 Mamlaka ya Mapato Tanzania