TRA YATOA SEMINA YA MABADILIKO YA SHERIA ZA KODI KWA WAHASIBU NA MAAFISA MANUNUZI
18 September, 2025
Zanzibar
Kaimu Meneja Idara ya Kodi za Ndani kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) -Zanzibar Ndg. Abdallah Saleh Kombo akifungua Semina kuhusu Mabadiliko ya Sheria za Kodi kwa Wahasibu na Maafisa Manunuzi wa Serikali. Semina hiyo imefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mayugwani Mjini Unguja tarehe 17/09/2025.
Habari Mpya
TRA YAZINDUA DAWATI LA UWEZESHAJI BIASHARA DAR ES SALAAM
GGM YAPONGEZA HUDUMA NZURI ZA KODI WANAZOPATA TRA
TRA YAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA NA WAFANYABIASHARA KAHAMA
BARRICK GOLD MINE YAPONGEZWA KWA ULIPAJI WA KODI MZURI