Emblem TRA Logo

KAMISHNA MKUU MWENDA AMTEMBELEA SPIKA WA BUNGE

06 May, 2025

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amemtembelea Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Akson April 2025 katika Ofisi ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.