Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw. Yusuph Juma Mwenda, ameshiriki vikao vya Kamati za Kumshauri Waziri wa Fedha (Think Tank Committees) kuhusu Sera za Kodi…
Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Zanzibar, Bw. Saleh Haji Pandu, amesema kuwa Mfumo wa Pamoja wa Uondoshaji wa Shehena Maeneo ya Forodha Zanzibar (The Zanzibar…
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti imeeleza kuridhishwa na utendaji kazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuipongeza Mamlaka hiyo kwa utendaji kazi ambao unaiwezesha…
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amesema Mamlaka hiyo itaendelea kutoa huduma bora kwa Walipakodi nchini ili kuhamasisha ulipaji kodi kwa…